Ratiba Azam Sports Federation Cup 2021/2022 ASFC Fixture,Ratiba ASFC 2021/2022, Ratiba Round ya tatu Azam Sports Federation Cup 2021/2022,Ratiba Azam Sports Federations Cup Nusu Fainali 2021/2022 Ratiba Azam Sports Federation Cup 2021 ASFC

Michuano ya Kombe la FA Tanzania (pia inaitwa Azam Sports Federation Cup) ni michuano ya mtoano bora katika soka la Tanzania , michuano hii inajumuisha jumla ya timu 64 na mwisho hushindana na kupatikana timu moja ambayo itaenda kuiwakilisha Tanzania katika michuano ya kimataifa ya CAF Cofedaration cup.

Mashindano yaliyopita klabu ya Yanga sc ya Dar es salaam  ndio iliweza kuchukua ubingwa wa michuano hii ya ASFC, kwa kuishinda klabu ya coastal Union kutoka mkoani Tanga.

Fountain Gate vs Rhino

JKT Tanzania vs Biashara United

Kigoma kwanza vs Buhaya fc

Nduguti Stars vs Gwambina FC

African Lyon vs Mbuni

Cosmopolitan vs mbeya kwanza fc

Majimaji vs Kengold fc

Mashujaa fc vs Pamba fc

Polisi katavi vs Mbeya road

Mbao fc vs Mapinduzi

Silent Ocean vs Copco

Magereza vs Pan Africans

New Dandii vs E4M FC

Afya vs Africans Sports

Nzega vs KFC

Green vs Stand United

Geita Gold FC vs Transt Camp

Ihefu FC vs Mtama Boys

Kagera Sugar vs Bugare FC

Ruvu Shooting FC vs Ndanda FC

Dodoma Jiji FC vs TMA Stars

Namungo FC vs Kitayose

Polisi Tanzania vs Nyika FC

Mbeya City FC vs Stand FC (Mtwara)

Mtibwa Sugar vs TRA (Kilimanjaro)

Prisons vs Misitu FC (Tanga)

Singida Big Stars vs Lipuli FC

Coastal Union vs Tanga Middle

KMC FC vs Tunduru Korosho

Azam FC vs Malimao FC (Katavi)

Young Africans vs Kurugenzi FC

Simba SC vs Eagle FC

 

 

 

 

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here