Kikosi cha Tanzania Taifa stars kinachoingia kambini, Tanzania Taifa stars squad against Libya, Kikosi cha Tanzania Taifa stars dhidi ya Libya, Kikosi cha Tanzania taifa stars mechi za kirafiki, Kikosi cha Tanzania Taifa stars.

Kikosi cha Tanzania Taifa stars.

Kocha wa Tanzania Taifa stars Honour  janza ameita kikosi cha Taifa star ameita kikosi.

Kikosi hiki kimekuwa na mabadiliko ya wachezaji wengi mabadiliko haya yanatokana na mabadiliko ya benchi la ufundi kuna idadi kubwa ya wachezaji wapya walio ongezwa katika kikosi hiki na baadhi ya nyota kupunguzwa katika kikosi hicho.

Kikosi cha Tanzania Taifa Stars dhidi ya libya.

Magoli kipa 

Aisha  Manila

Beno Kakolanya

Said kipao

Mabeki

Kibwana shomari

David luhende

Datius peter

Abdi banda

Dickson Job

Oscar Masai

Carlos protas

Abdalah mfuko

Viungo

Himid Mao

Sosipita Bajana

Mzamiru yasin

Feisal salum

Issa banks

Daivid orimi

Washambuliaji

Samata

Simon msuva

Ibrahim Joshua

Said Khamis

Habibu kyombo

Historia ya shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF)

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) (Swahili: Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania), lililokuwa Shirikisho la Soka Tanzania, ndilo linaloongoza soka nchini Tanzania. Anasimamia uendeshaji wa Mfumo wa Ligi ya Soka Tanzania, Timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania na Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania. Ilianzishwa mwaka 1945, imekuwa mwanachama wa FIFA tangu 1964. Wallace Kalia ndiye Rais wa sasa wa Shirikisho la Soka Tanzania tangu 2017.

Maraisi waliowahi kuongoza shirikisho la mpira  wa miguuTanzania(TFF)

  • Mr. Al Chambuso 1967-1974
  • Hon. Said El mameery  1974-1987
  • Mr. Mohammed Musa 1987-1992
  • Alhaji. Muhdin Ndolanga 1992-2004
  • Mr. Leodgar Tenga  2004-2013
  • Mr.Jamal E Malinzi 2013-2017
  • Mr. Wallece Karia 2017–present

Makao makuu ya shirikisho hili la mpira wa miguu Tanzania makao makuu yake yapo jijini Dar es salaam.Kikosi cha Tanzania Taifa stars

 

 

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here